SATAN’S GREATEST DECEPTION

After Adam was created, he chose to accept a lie that he is like God. He therefore chose the life of independence, thus de-touching himself from God. This meant, he was to produce his own knowledge, and apply it to come up with a way of doing things, which is what we call living. It…

Read More

THE PASSOVER BLOOD

We have seen on cars, house-doors, on the walls in offices and sitting rooms, a writing saying, “this (whatever) is protected by the blood of Christ”.  It’s a notion that seems to find acceptance in all people who profess a belief in Christ.  It’s true that Christ died for the sins of the world, that…

Read More

ARE YOU A CHRISTIAN?

What is God doing in human lives which makes them to be called Christians? What is happening in one’s life which shows he/ she is a true Christian? To answer these questions, we must understand the purpose of our lives and the process it will take to accomplish that purpose. The uppermost thing in God’s…

Read More

UBATIZO

Wakati Yohana Mbatizaji alikuja akihubiria watu habari za kuja kwa Yesu mara ya kwanza,wote waliomwamini, “walitubu dhambi zao naye akawabatiza-Mat.3:6”.Kubatiza maana yake ni kuzika ndani ya kitu.Sio lazima iwe ni maji.Hii ni neno lililotafsiriwa kutoka kwa neno la kigiriki,ambayo maana yake ni,”kuingiza kitu ndani ya kingine mpaka kimefunikwa kabisa”.Kwa hivyo,waliomwamini,aliwaingiza ndani ya maji kwenye mto…

Read More

CLASSES OF MEN

We live in a world with different races, nationalities, tribes, languages and cultures. In it, men seem to identify themselves primarily along these lines by which also, one feels different from the other. Below that, people have come up with more ways of identification, which are now crossing these racial, national, tribal, and cultural lines,…

Read More

WEWE NI NANI?

Siku moja, nilienda kwenye kikao cha majirani ambao sio wa kanisa. Kufika pale, nilikuta watu wa kile, wanaita viwango tofauti vya kimaisha ( soma ujumbe uitwao, “viwanga vya wanadamu”, kwa maelezo Zaidi), wakiwa wameketi kwenye meza moja, huku kila mmoja akihadithia vile ameendelea, na ile mipango ako nayo kwa sasa ya kijiendeleza Zaidi. Maongezi yote…

Read More

Jamii ya Mungu ambayo

Jamii ya Mungu ambayo ndio muumba wa anga yote, na ambayo iko na wenyeji wawili kwa sasa, yaani, neno , na Mungu- Yohana.1:1-3, inaishi yale maisha ambayo yameorodheshwa katika biblia( kwa maelezo zaidi, soma ujumbe, “Mungu wa pekee wa kweli”). Baada ya muda Fulani, hiyo jamii iliamua kuongeza wenyeji wake, kama wanavyoeleza katika hayo maandik…

Read More

MAKAO YA MILELE

Alipokuwa akitoka Duniani kwenda mbinguni, Kristo aliwaambia wanafunzi kwamba, anaenda kutuandalia makao.  Kila watu wanaposoma hiki kifungu kilichoko Yohana.14:1-3, karibu wote uelewa kuwa Yesu anatujengea nyumba za kukaa. Je, hivyo wanavyofikiria ni kweli? Eeee, hicho kifungu kinazungumzia kuhusu nyumba halisi kama zile tujengazo hapa duniani? Tunaposoma kwa makini, tunachokiona kikielezewa kwa biblia sio nyumba hizi…

Read More

WHERE TO BEGIN

WHERE TO BEGIN Everything done in life has a desired achievement. For that desire to be fulfilled, a very important ingredient is necessary. It is the knowledge of how to achieve it. As we all know, the human mind does not produce, nor does it have an inbuilt knowledge. It acquires knowledge through learning from…

Read More

BORN TO SALVATION

God is a family which, all human beings are potential members (see our message, “the universal family of God”). But for man to belong fully in it, he must be borne by God Himself. That being the case, it’s important to know what it takes to be born into that family. We do here of…

Read More