ZAKA, NANI AWAJIBIKAYE?
Katikati ya kipindi cha waleodikia, watu ambao wana akili za shauku, ambao hawana uhakika wa kile walipokea kwa Yesu, ambacho ndicho wanapaswa kuamini, wengi kati yao wanadhania mambo kuhusiana na vile wanapaswa kumwabudu Mungu, na vile wanapaswa kumtumikia. Hivyo, wamefikia kufanya, “ kile wanachoonelea kuwa chema machoni pao-Mith.14:12”. Kwa hivyo, “ kila mmoja anatenda kulingana…