MAKAO YA MILELE
Alipokuwa akitoka Duniani kwenda mbinguni, Kristo aliwaambia wanafunzi kwamba, anaenda kutuandalia makao. Kila watu wanaposoma hiki kifungu kilichoko Yohana.14:1-3, karibu wote uelewa kuwa Yesu anatujengea nyumba za kukaa. Je, hivyo wanavyofikiria ni kweli? Eeee, hicho kifungu kinazungumzia kuhusu nyumba halisi kama zile tujengazo hapa duniani? Tunaposoma kwa makini, tunachokiona kikielezewa kwa biblia sio nyumba hizi…