WHO IS CHRIST

  “ Jesus Christ is the same yesterday and today and forever-Heb.13:8”.  This is indicative of an unchanging personality. But even with this said, let’s try to wonder and think critically, asking ourselves; “who is this unchanging Christ? Where did He come from? Was He created by God? If yes, when? If not, then how…

Read More

IWENI WAANGALIFU( KESHENI)

Ni wazo gani uja kwa akili zetu tonaposikia hili neno la kukesha ama kuwa waangalifu? Inaweza kuleta wazo la kuangalia kitu, kumakinika, au, kujihadhari na kitu Fulani. Mungu katika neno lake na kwenye vifungu vingi anatuihimiza kuwa waangalifu, au kujihadhari katika maisha yetu. Ni kitu gani hasa ambacho Mungu anataka tukeshe kwacho? Wakati tunatazama au…

Read More

MSINUNGUNIKE

Kunazo aina mbili za ufahamu katika akili za wanadamu ambazo wanazitumia kuishi vile wanavyoishi. Hizi fahamu ni tofauti na zinapingana. Kwa hivyo, haziwezi kutumika zote kwa wakati mmoja. Mungu alituumba tukiwa na uhuru wa kuchagua moja kati ya hizi mbili. Ni ufahamu ule mtu anaochagua ambao anautumia kufikiria, kuwaza, kupanga na kutenda kama namna yake…

Read More

IN SEARCH FOR PEACE

         Campaigns are being contacted occasionally in every nation on the globe. Heads of states are being elected to office. Immediately after assuming office, complains begin with citizens grumbling for unfulfilled promises. Opposers arise and begin another campaign aimed at removing the elected leaders from office, accusing them of incompetence, and injustices. The elected heads…

Read More

ARE YOU A CHRISTIAN?

What is God doing in human lives which makes them to be called Christians? What is happening in one’s life which shows he/ she is a true Christian? To answer these questions, we must understand the purpose of our lives and the process it will take to accomplish that purpose. The uppermost thing in God’s…

Read More